Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii imepongeza Program ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi (KKK) inayotekelezwa na Halmashauri ya Meru katika shamba la Valeska
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha na kujadili taarifa ya utekelezaji majukumu yake kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Malisili na Utalii.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Bw. Geofrey Pinda amesema vipaumbele vya Wizara kwa sasa ni kuongeza kasi ya ukusanyaji maduhuli ya serikali kupitia pango la Ardhi
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amesitisha utoaji vibali vya ukarabati kwa majengo chakavu ya chini mkoani Mwanza ili kutoa fursa ya uendelezaji upya viwanja hivyo kwa mujibu wa mpango kabambe.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amewataka wanawake nchini kujiamini wakati wa kutekeleza majukumu yao.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mkoa wa Arusha kwa kufanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi Bilioni 5.230,483,727.90 katika kipindi cha kuanzia Julai 2022 hadi Februari 28 mwaka huu.
© 2023 All Rights Reserved.
Site Map
Staff Mail
Designed and Developed bylbl_ega_nam (e-GA) and Contents Managed by Ministry of Lands, Housing and Human Settlements Development