Kurasa
Kitengo cha Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya
Majukumu ya kitengo ni pamoja na: -
i. Kutathmini utendaji kazi wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya na kutolea taarifa;
ii. Kuyajengea uwezo Mabaraza ili kuleta ufanisi na tija;
iii. Kutoa miongozo ya Utendaji kazi wa kila siku wa Mabaraza;
iv. Kufuatilia na kufanya tathmini ya Utendaji kazi ili kuhakikisha maadili yanafuatwa;
v. Kumshauri waziri mwenye dhamana juu ya ada zinazotozwa kwa ajili ya huduma zitolewazo na Mabaraza; na
vi. Kuwezesha uteuzi wa madalali wa Mabaraza.