Vyombo vya Habari

TANGAZO KUUZA VIWANJA ARUSHA

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inautangazia umma kuwa, inauza viwanja katika barabara ya Afrika Mashariki (East Africa bypass) eneo la MalaluaMlangalini Halmashauri ya Wilaya ya Arusha.