Taarifa Muhimu
UTOAJI WA HUDUMA NYAKATI ZA USIKU KATIKA OFISI ZA ARDHI MKOA WA DAR ES SALAAM
- 24 Oct, 2024
- Pakua
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi anapenda kuwajulisha wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa, tarehe 22 — 26 Oktoba, 2024 Ofisi za Ardhi Mkoa pamoja na Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam zitatoa huduma kwa wananchi kuanzia saa 1.30 asubuhi hadi wakati wa usiku.