Vyombo vya Habari
TAARIFA KWA UMMA
- 29 Oct, 2024
- Pakua
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inaratibu na kuendesha zoezi la kutambua kampuni zote zinazojihusisha na shughuli za Uwakala wa Milki/watu binafsi katika uuzaji/upangishaji wa nyumba/viwanja na mashamba. Hatua hii inalenga kuboresha utoaji wa huduma za sekta ya Milki nchini.